Mashabiki wa Simba wakikimbia kufuatia polisi kupiga mabomu ya machozi jukwaani juzi kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam baada ya mechi ya Simba dhidi ya Kagera Sugar iliyomalizika kwa sare ya bao 1-1, ambapo mashabiki hao wa Simba waling’oa viti na kuvirusha huku wakimlaumu mwamuzi wa mechi hiyo kwamba hakuchezesha kwa haki.Picha na Michael Matemanga.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni